Naibu Waziri Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mhe. David Silinde (Mb) amesema Ofisi ya Rais – TAMISEMI imetoa maelekezo kwa Makatibu Tawala wa Mikoa yote Tanzania Bara kufanya msawazo wa walimu kutoka shule zenye ziada na kuwapeleka katika shule zenye upungufu zaidi. Amesema hayo leo tarehe 08 Februali 2023 Bugeni Dodoma wakati akijibu Swali la Mbunge
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed